WANAHABARI JIJINI DODOMA WANAOMBOLEZA KIFO CHA MDAU WAO WA KARIBU

Na Barnabas Kisengi, Dodoma  Chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Dodoma (Center Peres Club) kimepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha mdau wao wa habari Sarah Hume (Mama Innocent) kilichotokea jijini Dodoma katika Hospitali ya Benjamin mkapa (UDOM)  jijini Dodoma baada ya kuugua kwa muda mfupi.  Akizungumza na jfivetv.com Mwenyekiti wa chama cha waandishi wa