WANAHABARI JIJINI DODOMA WANAOMBOLEZA KIFO CHA MDAU WAO WA KARIBU
Na Barnabas Kisengi, Dodoma Chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Dodoma (Center Peres Club) kimepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha mdau wao wa habari Sarah Hume (Mama Innocent) kilichotokea jijini Dodoma katika Hospitali ya Benjamin mkapa (UDOM) jijini Dodoma baada ya kuugua kwa muda mfupi. Akizungumza na jfivetv.com Mwenyekiti wa chama cha waandishi wa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed